Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 25,209 Reaction score 40,650 Feb 3, 2023 #144,581 Shimba ya Buyenze said: Hongera dogo. God will provide! View attachment 2504351 Click to expand... Hongera kwake,ila ni mtihani mzito kule watoto watano,mtoto mdogo anasumbua sana jamani daah.........hao watano daah
Shimba ya Buyenze said: Hongera dogo. God will provide! View attachment 2504351 Click to expand... Hongera kwake,ila ni mtihani mzito kule watoto watano,mtoto mdogo anasumbua sana jamani daah.........hao watano daah
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 25,209 Reaction score 40,650 Feb 3, 2023 #144,582
Midekoo JF-Expert Member Joined Mar 30, 2015 Posts 47,774 Reaction score 256,812 Feb 3, 2023 #144,583 Shimba ya Buyenze said: Nifungulie PM kwa dakika moja tu nikuulize kitu! πππ Click to expand... πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
Shimba ya Buyenze said: Nifungulie PM kwa dakika moja tu nikuulize kitu! πππ Click to expand... πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ
Chukwu emeka JF-Expert Member Joined Jan 12, 2018 Posts 25,209 Reaction score 40,650 Feb 3, 2023 #144,584 Your browser is not able to display this video.
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Feb 3, 2023 #144,585 Depal said: Kukata shauri? Means ujikute tu umekubali for the sake of being Mrs fulani? Mhh πππ Sasa kama yule ticha mhh ningekubali sahii ningekuwa mke wa mtu ila akuuuu,, tatizo nafsi zinakataa. Click to expand... Jipe muda... When the right guy comes and the time is right utajua tu... Ila usiringe saaaaana...na wote hawa unaowapotezea wapotezee kwa heshima.... You never know!
Depal said: Kukata shauri? Means ujikute tu umekubali for the sake of being Mrs fulani? Mhh πππ Sasa kama yule ticha mhh ningekubali sahii ningekuwa mke wa mtu ila akuuuu,, tatizo nafsi zinakataa. Click to expand... Jipe muda... When the right guy comes and the time is right utajua tu... Ila usiringe saaaaana...na wote hawa unaowapotezea wapotezee kwa heshima.... You never know!
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Feb 3, 2023 #144,586 Mideko said: πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ Click to expand... Ushafungua? π³
Mideko said: πΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈπΆββοΈ Click to expand... Ushafungua? π³
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,508 Reaction score 203,230 Feb 3, 2023 #144,587 Shimba ya Buyenze said: Binti yake mpaka leo tumekuwa kama ndugu. Hata kwetu Misungwi alishafika.... Kwa nini unapenda ku-upgrade umri sasa? Vidimpozi na hiyo baby face huwa unamdanganya nani mpaka anadanganyika? Click to expand... Safiiii Naimani hujadukua kimasihara Natamani kuwa mkubwa π Wanadanganyika tu Sasa nikikwambia nna 32 kwann ukatae na wakati hapo hunijui ππ
Shimba ya Buyenze said: Binti yake mpaka leo tumekuwa kama ndugu. Hata kwetu Misungwi alishafika.... Kwa nini unapenda ku-upgrade umri sasa? Vidimpozi na hiyo baby face huwa unamdanganya nani mpaka anadanganyika? Click to expand... Safiiii Naimani hujadukua kimasihara Natamani kuwa mkubwa π Wanadanganyika tu Sasa nikikwambia nna 32 kwann ukatae na wakati hapo hunijui ππ
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,725 Reaction score 830,789 Feb 3, 2023 Thread starter #144,588 Depal said: Msalimie Demiss Click to expand... Ayaya
See For Me JF-Expert Member Joined Sep 7, 2022 Posts 630 Reaction score 1,815 Feb 3, 2023 #144,589 Depal said: View attachment 2504619 Click to expand... Hii inatuhusu na sisi tunao simama..?
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,725 Reaction score 830,789 Feb 3, 2023 Thread starter #144,590 Shimba ya Buyenze said: Tusitishane pulizi. Watu tulishasukuma milango imeandikwa pull hatutishwi na maandiko ya kwenye tisheti tu View attachment 2504640 Click to expand... Mikwara tu hiyo
Shimba ya Buyenze said: Tusitishane pulizi. Watu tulishasukuma milango imeandikwa pull hatutishwi na maandiko ya kwenye tisheti tu View attachment 2504640 Click to expand... Mikwara tu hiyo
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Feb 3, 2023 #144,591 Depal said: Safiiii Naimani hujadukua kimasihara Natamani kuwa mkubwa π Wanadanganyika tu Sasa nikikwambia nna 32 kwann ukatae na wakati hapo hunijui ππ Click to expand... Not with that baby face...
Depal said: Safiiii Naimani hujadukua kimasihara Natamani kuwa mkubwa π Wanadanganyika tu Sasa nikikwambia nna 32 kwann ukatae na wakati hapo hunijui ππ Click to expand... Not with that baby face...
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,508 Reaction score 203,230 Feb 3, 2023 #144,592 Shimba ya Buyenze said: Jipe muda... When the right guy comes and the time is right utajua tu... Ila usiringe saaaaana...na wote hawa unaowapotezea wapotezee kwa heshima.... You never know! Click to expand... Wee Kuringa muhimu πππππππ Hiyo ni necha jamani Ya binadamu wotee Mi kama hujanichokoza au kunikera, daima utaheshimika
Shimba ya Buyenze said: Jipe muda... When the right guy comes and the time is right utajua tu... Ila usiringe saaaaana...na wote hawa unaowapotezea wapotezee kwa heshima.... You never know! Click to expand... Wee Kuringa muhimu πππππππ Hiyo ni necha jamani Ya binadamu wotee Mi kama hujanichokoza au kunikera, daima utaheshimika
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,508 Reaction score 203,230 Feb 3, 2023 #144,593 Shimba ya Buyenze said: Not with that baby face... Click to expand... Subiri basi niache kupakaa SPF Na hili juaaaa Mbona nitakomaa chap
Shimba ya Buyenze said: Not with that baby face... Click to expand... Subiri basi niache kupakaa SPF Na hili juaaaa Mbona nitakomaa chap
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Feb 3, 2023 #144,594 Depal said: Subiri basi niache kupakaa SPF Na hili juaaaa Mbona nitakomaa chap Click to expand... Unatumiaga SPF ngapi? 75%?, 50%, 25% Siri hiyo wangeijua na mabinti wengine wallahi wasingezeeka wala kuchakaa usoni mapema.
Depal said: Subiri basi niache kupakaa SPF Na hili juaaaa Mbona nitakomaa chap Click to expand... Unatumiaga SPF ngapi? 75%?, 50%, 25% Siri hiyo wangeijua na mabinti wengine wallahi wasingezeeka wala kuchakaa usoni mapema.
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,508 Reaction score 203,230 Feb 3, 2023 #144,595 Shimba ya Buyenze said: Unatumiaga SPF ngapi? 75%?, 50%, 25% Siri hiyo wangeijua na mabinti wengine wallahi wasingezeeka wala kuchakaa usoni mapema. Click to expand... Ya 50. Jamani wee ππππ Tunapakaaa Na kuzeeka tutazeeka
Shimba ya Buyenze said: Unatumiaga SPF ngapi? 75%?, 50%, 25% Siri hiyo wangeijua na mabinti wengine wallahi wasingezeeka wala kuchakaa usoni mapema. Click to expand... Ya 50. Jamani wee ππππ Tunapakaaa Na kuzeeka tutazeeka
Shimba ya Buyenze JF-Expert Member Joined Dec 22, 2014 Posts 183,582 Reaction score 1,105,406 Feb 3, 2023 #144,596 Depal said: Ya 50. Jamani wee Tunapakaaa Na kuzeeka tutazeeka Click to expand... I have known you for more than 5 yrs and you haven't changed a bit...Kumbe ndo siri yako hiyo. Hata nkamu alishaigusia hii ishu kule selfika japo sina uhakika kama watu walimwelewa...
Depal said: Ya 50. Jamani wee Tunapakaaa Na kuzeeka tutazeeka Click to expand... I have known you for more than 5 yrs and you haven't changed a bit...Kumbe ndo siri yako hiyo. Hata nkamu alishaigusia hii ishu kule selfika japo sina uhakika kama watu walimwelewa...
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 360,725 Reaction score 830,789 Feb 3, 2023 Thread starter #144,597 Teacher who made an OnlyFans porn in a classroom and was fired, vows βrevengeβ on friend who exposed her
Teacher who made an OnlyFans porn in a classroom and was fired, vows βrevengeβ on friend who exposed her
Hassan Mambosasa JF-Expert Member Joined Aug 2, 2014 Posts 3,371 Reaction score 4,560 Feb 3, 2023 #144,598 Mideko said: View attachment 2504490 Click to expand... Ontario huyu wa JF
Depal JF-Expert Member Joined Nov 26, 2018 Posts 50,508 Reaction score 203,230 Feb 3, 2023 #144,599 Shimba ya Buyenze said: I have known you for more than 5 yrs and you haven't changed a bit...Kumbe ndo siri yako hiyo. Hata nkamu alishaigusia hii ishu kule selfika japo sina uhakika kama watu walimwelewa... Click to expand... π π π hujanizoom vizuri itakuwa Inasaidia kiasi Ngozi haikomazwi na jua
Shimba ya Buyenze said: I have known you for more than 5 yrs and you haven't changed a bit...Kumbe ndo siri yako hiyo. Hata nkamu alishaigusia hii ishu kule selfika japo sina uhakika kama watu walimwelewa... Click to expand... π π π hujanizoom vizuri itakuwa Inasaidia kiasi Ngozi haikomazwi na jua
M Mzalendo120 JF-Expert Member Joined Jul 2, 2022 Posts 1,917 Reaction score 2,540 Feb 3, 2023 #144,600 Mideko said: View attachment 2504639 Click to expand... Mideko said: View attachment 2504639 Click to expand... Hiyo ndio maana ya kazi ziendelee. Fanya kazi kwa bidii
Mideko said: View attachment 2504639 Click to expand... Mideko said: View attachment 2504639 Click to expand... Hiyo ndio maana ya kazi ziendelee. Fanya kazi kwa bidii