Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kukata shauri? Means ujikute tu umekubali for the sake of being Mrs fulani?
Mhh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Sasa kama yule ticha mhh ningekubali sahii ningekuwa mke wa mtu ila akuuuu,, tatizo nafsi zinakataa.
Jipe muda...

When the right guy comes and the time is right utajua tu...

Ila usiringe saaaaana...na wote hawa unaowapotezea wapotezee kwa heshima....

You never know!
 
Binti yake mpaka leo tumekuwa kama ndugu. Hata kwetu Misungwi alishafika....

Kwa nini unapenda ku-upgrade umri sasa? Vidimpozi na hiyo baby face huwa unamdanganya nani mpaka anadanganyika?
Safiiii
Naimani hujadukua kimasihara


Natamani kuwa mkubwa πŸ˜‚
Wanadanganyika tu
Sasa nikikwambia nna 32 kwann ukatae na wakati hapo hunijui πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Jipe muda...

When the right guy comes and the time is right utajua tu...

Ila usiringe saaaaana...na wote hawa unaowapotezea wapotezee kwa heshima....

You never know!
Wee
Kuringa muhimu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hiyo ni necha jamani
Ya binadamu wotee

Mi kama hujanichokoza au kunikera, daima utaheshimika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…