Vituko mitandaoni. Tupia chako

Huyo binti yake hukuwala kimasihara kweli
 
Navyopenda ku upgrade umriiiiiiiii
Ila ni mwili unanikataa
Me ukiulizq ni lazima nikuongezee miwili au mi3.
Ila kupunguzaa? Nehii

Back tu shangazi Ashura, huo ni utapeli 🤣
Btw angekupa binti ake
Na apumzike kwa Amani
 
Kwa kampeni hizi za ushoga na kukataa ndoa zilizopamba moto 2060 mbali sana. 2030 tu hapa kutakuwa na wimbi kubwa la mabinti above 35 wanaosaka waume kwa hali na mali.
Mi mwenyewe nina mfano hai wa ndugu yangu ana 31 ila ni mapenziless,sexless,childless mi namuonea huruma sana maana kaaa kaa yake ni tofauti na wanawake wa umri wake hii ni kweli ila 2030 ni karibu sana mkuu labda 2045
 
Mi mwenyewe nina mfano hai wa ndugu yangu ana 31 ila ni mapenziless,sexless,childless mi namuonea huruma sana maana kaaa kaa yake ni tofauti na wanawake wa umri wake hii ni kweli ila 2030 ni karibu sana mkuu labda 2045
31 mbona bado mdada mbichi jamani

Me mwenyewe nna dada
Nahisi yuko above 35
She is happier
Ana mtoto mmoja

Au wanaliaga ndani kwa ndani?

I see me in the fyuchaaaa
 
31 mbona bado mdada mbichi jamani

Me mwenyewe nna dada
Nahisi yuko above 35
She is happier
Ana mtoto mmoja

Au wanaliaga ndani kwa ndani?

I see me in the fyuchaaaa
31 mdogo unachekesha we depal huyu hata dalili ya kuwa na me hamna alafu anavutaga bangi huyu na kukojolewa ovyo ovyo disco ila boyfriend wa kudumu hana kabisa na mawazo hayo hana mi nakwambia labda mpaka 40+ akili yake ikifunguka la sivyo sijui

Ndo mambo ya menopause yakiwa yanamnyemelea hapo 😒😹😹😹 and im sure inamuuma sana kwa ndani sema ndo hivyo huwezi jua



Single maza wengi ni 🤮🤮🤮🤮🤮
 
Mh 31? Ana ukubwa gani?
Labda angekuwa 41

Huyo anavuta bangi ni anaza case 🙄
 
Navyopenda ku upgrade umriiiiiiiii
Ila ni mwili unanikataa
Me ukiulizq ni lazima nikuongezee miwili au mi3.
Ila kupunguzaa? Nehii

Back tu shangazi Ashura, huo ni utapeli

Btw angekupa binti ake
Na apumzike kwa Amani
Binti yake mpaka leo tumekuwa kama ndugu. Hata kwetu Misungwi alishafika....

Kwa nini unapenda ku-upgrade umri sasa? Vidimpozi na hiyo baby face huwa unamdanganya nani mpaka anadanganyika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…