Bageshi smart sana yule hakuwa na haja ya kufanya huu utopolo. A+ straight tangu chekechea mpaka Uni. Wasukuma siye siyo wa mchezo mchezo πππͺπππ
Bageshi smart sana yule hakuwa na haja ya kufanya huu utopolo. A+ straight tangu chekechea mpaka Uni. Wasukuma siye siyo wa mchezo mchezo πππͺπππ
Si mnaambiana bwana. Kuwa this is just a coffee date. Light convo. Just to get to know you a lil bit more...usually ni coffee na light snacks ila mwanaume unaweza kujiongeza ukam-surprise na kakitu kengine akapendako...Nice flowers, expensive chocolates...au hata drink nyingine aipendayo..
Sasa coffee date mtu anaparamia likuku lizima dah! Kama ni mimi hutanisikia tena wallahi! π
Kuna mtu alinitoa dinner
Nikajishaua ule uzungu wa βorder chochote nakula kasoro sumu.
Mtu akaniuliza ushawahi enda eneo flan? Nikamwambia hapana. Akasema basi twende pale, wana vyakula vya kimataifa.
Tumefika
Nikaagiza glass ya white wine- nilichofaidi π
Chakula si ndo yeye sasa, basi akaagiza kitu kinaitwa INJERA, ni Ethiopian food.
Aliisifiaa, nikadhani itakuwa poa.
Mhh ngoma ilikuwa mbaya jamani π najikaza ila wapi,, ye anafakamia tu.
Nimekoma huo uzungu
Agiza- ni mwendo wa makange nusu tu