Vituko mitandaoni. Tupia chako

TUZO YA KIONGOZI MUONGO TANZANIA 2022

Haya tuwapatie tuzo viongozi 10 bora waliofanikiwa kutudanganya kwa mwaka huu.

Kauli mbiu, kusema UONGO ni chachu ya maendeleo.

Wape washindi wako wa uongo nafasi kati ya 1 hadi 10 ambapo namba 1 ni kinara wako

1. Waziri Mkuu

2. Waziri wa Fedha
3. Mseamji wa serikali
4. Waziri wa Nishati na umeme
5. Wafafanuzi wa mabehewa

6. ....
7.....
 
Top ten inaendelea
1.Jiwe
2.katelefone
3.Semaji
4.mzee wa tai bendera
5.marope
6.mtamaboy
7.hangaya
8.dalali zito
9.chalamila
10.kalamaganda kabugi

Sasa wewe unakosea. Umeambiwa orodha ya waongo, siyo ya wajinga. Sasa Chalamila umamwrka wa nini hapa?

Nisamehe sana ndugu yangu nimekosa nimekosa mimi nimekosa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…