Vituko mitandaoni. Tupia chako

SABABU FEI KUSEPA YANGA

Fei ameamua kujichomoa Yanga kutokana na kutotekelezwa kwa ishu yake ya kimasilahi ikiwamo ombi la ongezeko la mshahara anaolipwa.

Fei amewaeleza hana furaha kuona wachezaji kadhaa wa kigeni wakilipwa fedha nyingi, huku wakiwa wanaishia kukaa jukwaani tu
 
Bora katoka yanga,yanga wabaki na mayele wao nyamisifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…