SABABU FEI KUSEPA YANGA
Fei ameamua kujichomoa Yanga kutokana na kutotekelezwa kwa ishu yake ya kimasilahi ikiwamo ombi la ongezeko la mshahara anaolipwa.
Fei amewaeleza hana furaha kuona wachezaji kadhaa wa kigeni wakilipwa fedha nyingi, huku wakiwa wanaishia kukaa jukwaani tu
View attachment 2457273