Vituko mitandaoni. Tupia chako

na ile kitu pia unapiga.... Msukuma unaniangusha aisee

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Baada ya Wasukuma nani?

Zamani kabila lililodharauliwa kati ya mengine 128 lilikuwa ni Wahaya, kila kitu na jambo baya vilifananishwa nao.

Wahaya wakafanya bidii wakajikomboa, kijiti kikahamia kwa Wamakonde. Hawa nao wameishi na mapito na majaribu haya hadi gesi ilipowapa heshima na kuwaondolea kudharauliwa.

Ngoma ikawaendea Wasukuma bhana! Lolote la kushangaza chini ya jua akifanya mtu hata kama ni Mzungu utasikia watu wakisema "Msukuma wa wapi huyo?"

Unadhani baada ya Wasukuma kijiti hiki kitahamia kwa kabila lipi? Toa utabiri wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…