Vituko mitandaoni. Tupia chako

Beyonce aliwahi kualikwa kwenda kutumbuiza kwenye birthday ya bilionea mmoja wa Saudia akalipwa $142 million na hafla ilihudhuriwa na watu 32 tu. Hivyo haishangazi.
Umesema BEYONCE alafu DUBAI na malipo ni USD 142 MILLIONS asee hivyo ni vitu vitatu usivifanyie mchezo bongo njaa kali hakuna jipya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…