Mwenge wa uhuru ukimaliza kukagua miradi mbalimbali Mkoa wa Katavi, leo umebaini dosari katika jengo la wagonjwa mahutututi (ICU) hospitali ya wilaya ya Tanganyika ambapo moja ya chumba kimebainika kufungwa taa za mwanga kama wa disko (dicso light).
Yeah...
Kwamba wadada wakienda matanuzi wanachangishana fedha kiwango sawa ili wakalewe
Lakini
Wakaka wakitaka kwenda club kulewa basi mmoja anashughulika na bili (fedha), mwingine atashughulikia usafiri na mwingine ataleta wanawake (mademu)