*Habari zenu wababa , mkumbuke taarifa za watoto anaepaswa kuzitoa ni mama watoto...
usianze kudakia oooh huyu mwanangu wa pili sijui wa tatu, wanne, pls kaa kwa kutulia mbali kabisa wakati mkeo anatoa taarifa za wanae kwa karani wa sensa...
sawa wazee ?