Vituko mitandaoni. Tupia chako

matusi yako wapi hapo? Mwambie mume ajiheshimu kwanza ili na sisi tumuheshimu aache kujiheshimu halafu ategemee positive results never to me we mama mkanye mumeo we dada
keshakuwa mume wangu Mshana Jr uwe shahidi nimeshapewa mume mie. Ila seriously mkuu mimi nadhani una ishu personal na huyu bwana maana kama ni hapa kwenye uzi nipo siku zote sijawahi kuona anamvunjia mtu heshima kwa makusudi. Kama kuna mahali alikukwaza ungesema tu kwa lugha nyepesi matusi hayana tija
 
Was kumpuuza tu.

Hawezi sema sababu yeyote,sema tu watu wengine ni washari tu,wanatafuta kila njia ya kutema sumu.

Dawa ni kuvaa miwani nyeusi tu,wewe unamuona yeye akuoni,anaishia kuteseka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…