Leo
Behat hulali...
Kuna limtu linakukodolea hapo kodo!
Usiku wa manane. Ni muda wa hatari. Vifo vingi hutokea muda huu Zirairi akizunguka huku na huko duniani kuvuna roho. Hata heart attacks nyingi ndo mida yake hii.
Ukiamka muda huu inashauriwa sana kusali!