Michirizi ya utamu hiyo iache wala isikunyime raha. Labda kama unadeti na vivulana hivi ambavyo havielewi cho chote kuhusu mwili wa mwanamke...na kwa nini anaitwa mwanamke!
Michirizi ya utamu hiyo iache wala isikunyime raha. Labda kama unadeti na vivulana hivi ambavyo havielewi cho chote kuhusu mwili wa mwanamke...na kwa nini anaitwa mwanamke!
Kama zipo nyingi sana mpaka unaonekana kama pundamilia unaweza kutumia mafuta ya mnyonyo (castor oil) ili kuzififisha kiaina. Vinginevyo ziache tu na zitafifia zenyewe.....na kwa nadhani wanaume wengi wanazipenda kwa sababu ndiyo hasa mwili wa mwanamke unapaswa uwe hivyo hasa mapajani huku na kwenye msambwanda. Kuna raha yake yaani