Aiseeeh hii tabia imenishinda kuivumilia....
Halafu nina bahati nao... sijui niseme mbayaaa....
Hao last borns, the only boys na the only child...khaaaa!!!??
Nilikiwa nanuniwa hadi najisahau kama niko kwenye mahusiano...
Nimeshindwa mimi
Nimegivu apu mimi....
Nilikjwa najikuta muda wote mimi ndo najibaraguza vile siwezi kaa bila kuongea...
Raha sana kuwa singo
.