Gazeti la propaganda lililokuwa linatumiwa na Serikali ya Awamu lilimchafua sana Zuhura Yunus. Leo Zuhura Yunus ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais - Ikulu. Tulikuwa tunawashauri watu waliokuwa karibu na watawala katika Awamu ya Tano kuwa waache kuchafua watu hawakutaka kutusikia!
Mwana Kondoo Ameshinda! Tumfuate!
Askofu Emmaus Bandekile Mwamakula
View attachment 2104255