Vituko mitandaoni. Tupia chako

Aaa wapi! Awamu hii inarudisha wote waliokataliwa na awamu iliyopita. Hata akina Kigogo wote wamesharudi serikalini (Marope, mbunge wa Millet n.k). Ni siasa. Ukizubaa unauliwa...

Na hawa kurudishwa haina maana kwamba ni wasafi sana. Siasa! Adui yako wa leo ndiyo rafiki yako wa kesho (and vice versa)...na walio ndani ya duara wanacheza kulingana na mdundo wa ngoma. Shida ni sisi tulio nje ya duara!

By the way Mbowe ni gaidi au siyo gaidi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…