Uko kama mimi. Tangu nizaliwe nilishanunua mara moja tu tena zamani na kwa kulaghaiwa. Washikaji walinibeba eti twende huku tukakuonyeshe mambo tukakata kona hapa na pale kuja kushtuka tuko majumba saba kwa Wahaya nikaambiwa ingia pale kuna kabinti kapya kapya ndo kamekuja hela hii hapa. Nikaingia kwa shingo upande lakini....mpaka leo sijawahi kununua aisee
Correct. Kama kweli unaitaka hii nyekundu ya Msimbazi lete details PM nikurushie. Nitakuongezea na kabakhshishi kidogo sababu ya urafiki wetu wa kawaida wa siku nyingi
Correct. Kama kweli unaitaka hii nyekundu ya Msimbazi lete details PM nikurushie. Nitakuongezea na kabakhshishi kidogo sababu ya urafiki wetu wa kawaida wa siku nyingi
Yeye ni celebrity. Na ucelebrity una gharama zake. Kumlinganisha na wanawake wa kijijini si sawa...Ukiwa public figure ni lazima usemwe - kwa mema au mabaya! View attachment 2103185