Sasa Mzee,Uzi ni Visa na Matukio ktk picha,lkn hapa Umeweka picha ya "YESU MWENYE HURUMA",kwa Imani yangu picha hii tunaiheshimu sana.Hivyo Sijapenda kuiweka hapa.Kiimani sijajisikia vizuri.Hivyo uiondoe.Picha ina heshima kubwa Sana.
Mi nadhani pamoja na kuwa ni mada ya vituko lakini si mbaya kuweka mawili matatu ya serious kwaajili ya kujifunza au kukumbushana maana ni sehemu tunayokutana wengi.