Yaan kama anasema million 35 wamepata ajira inamaanisha ni nusu ya population ya watanzania duh ***** kwa hiyo mpaka walioko shule tiyar wanaajira....
Njaa hizi mbaya ikihamia kichwani unatoa takwimu na ugoro juu
Kenya, Uganda, South Africa zimeingizwa ki magumashi hapo.
Nchi tatu za Afrika mashariki, Kenya Uganda na Tanzania hazipishani sana.
Labda utafiti wao kuhusu Tanzania waliufanyia mikoa ya Kigoma, Katavi, Rukwa, Mbeya, Njombe.
Aisee, 1995 naukumbuka kwa mengi.
Mbali ya uchaguzi ule wa kwanza wa vyama vingi ambao ulichangamsha siasa za Tanzania, lakini kuna mengine mengi ya kukumbukwa.