Vituko mitandaoni. Tupia chako

Aaaah kumbeee ndo maana sikuhiz kila baharia anacheza mpira alafu wakiwa uwanjani wanajiangusha angusha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚View attachment 1192574
Hahahahaa, unajua hata Mourinho alipaona pachungu Chelsea baada ya kumzingua daktari Eva na Eva akasepa zake, dadadeki wachezaji walimchenjia mpaka akakimbia timu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…