Sijakataa kuwa kwenye mpira mi ni mweupe japo si sana. Ila,narudia tena,kocha ni pamoja na mafanikio.
Kuna zile,kaifikisha timu hii hatua fulani,kachukua kombe fulani,nk.
Mfano Pitson wa Al Ahly,anaenda pale kutoka Mamelodi,kawafanyia nini Mamelodi hadi Al Ahly wakamuona!?