Vituko mitandaoni. Tupia chako

Yaan SHIMBA YA BUYENZE umeharibu akili yangu kila nikikutana na wadada wako mashallah lazima nikukumbuke
Siyo wewe peke yako. Wengine mpaka wananitumia PM mizigo wanayokutana nayo huko mitaani. Nitafurahi sana na wewe ukianza kufanya hivyo


Halafu siku wananzengo wakija kugundua kuwa mwenyewe kumbe nimeoa kakimbaumbau tena flat screen sijui uso wangu nitauficha wapi mimi dah!


Legacy ya hovyo nimejijengea mimi. Hata siku nikidedi utasikia tu jamaa alikuwa anapenda misambwanda sasa kaiacha. Ai niidi tu chenji kwa kweli
 
Nimecheka kifala aisee, mzee baba we ni bonge la comedian.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…