Siyo wewe peke yako. Wengine mpaka wananitumia PM mizigo wanayokutana nayo. Nitafurahi sana na wewe ukianza kufanya hivyo
Halafu siku wananzengo wakija kugundua kuwa mwenyewe kumbe nimeoa kakimbaumbau tena flat screen sijui uso wangu nitauficha wapi mimi dah!