Nimekaa gheto moja miaka 2-3 na mwanangu mmoja wa kisomali hivi around 2012,alikuwa anakula hii kitu siku zote 365/365 lkn sikuwahi kushawishika kula hii,thnx God
Mida hii naandika hii comment ndo mida yake ya kuamka anoga
,anaswali
swala zote zilizompita,anakula
,akimaliza anaenda kutafuta zaga...awe na hela asiwe nayo atapata tu.
Akirudi gheto saa mbili usiku anasaga gomba
mpk alfajiri,anaoga
anaswali
,anakula
,analala
(REPEAT)