Si nimeona unasema unasaka wa kukuzalia [emoji2][emoji2][emoji2]Kweli hata wewe bageshi hujui kuwa ninao wawili? Mke mkubwa nilimuoa zamani wakati nikiwa kijana. Mke mdogo ndo yupo kwenye early 40s hivi na huyu nilimuoa mwaka juzi tu hapa [emoji16][emoji16][emoji16]
Kungekuwa na flyover Wanyaki wangekuwa wanajazana hapo na hata kukanyagana hovyo na kurestishana ini pisi [emoji16][emoji16][emoji16][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099][emoji2099]Hivi na ile fly over inakopita train hapana lift pale kweli[emoji848]
Nasaka mke wa tatu bageshi. First born wetu anao wanne. Mimi nataka nikomee watatu. Kama kuna kabinti ka Kisukuma huko at least 35+ nifanyie connection nkoyi...Nakūlūmba no no no [emoji1545][emoji1545][emoji1545]Si nimeona unasema unasaka wa kukuzalia [emoji2][emoji2][emoji2]
Malizia about youHata ufanyeje utasemwa tu...so relax and live your life [emoji1545]
View attachment 1978025
Mijitu gani sasa? Mwenye kosa hapo ni huyo mama. Yaonekana pengine hata kufuli hana. Dogo si kwa kushangaa huko [emoji706][emoji706][emoji706]Mijitu mingine,hovyooooView attachment 1978028