Kweli hata wewe bageshi hujui kuwa ninao wawili? Mke mkubwa nilimuoa zamani wakati nikiwa kijana. Mke mdogo ndo yupo kwenye early 40s hivi na huyu nilimuoa mwaka juzi tu hapa
Nasaka mke wa tatu bageshi. First born wetu anao wanne. Mimi nataka nikomee watatu. Kama kuna kabinti ka Kisukuma huko at least 35+ nifanyie connection nkoyi...Nakūlūmba no no no
Karibu Misungwi mjini ukipata nafasi bageshi. Ulizia kwa mzee Shimba yule mkulima maarufu wa dengu na nyanya.