Vituko mitandaoni. Tupia chako

Mm nilikutana na mtu ananunua Tv ya Samsung million 12
Jamaa yangu alikua anajiandaa na harus tukapanga bajet ya kanzu lak unusu,kofia, kilemba msuli na vinginevyo lak unusu jumla matumiz lak tat mguu mosi mguu pili mpaka mtaa wa msikit nadhan ni posta pale kwa mara ya kwanza ktk uhai wangu nikakutana na kanzu inauzwa laki saba taslimu na kofia tukatoa ofa ya laki mtoto wa kike akatujibu haina maslah akaendelea zake kuchat
 
Ungemuonyeshea kidole cha kati
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…