Mkuu hapa hakuna ujinga ni burudani tu.
Kila mmoja anatafuta ucheshi anatupia.
Ni ngumu kujua kuwa unachotupia hapa kuna memba keshatupia.
Sidhani kama ni tatizo kiasi hicho
Mkuu hapa hakuna ujinga ni burudani tu.
Kila mmoja anatafuta ucheshi anatupia.
Ni ngumu kujua kuwa unachotupia hapa kuna memba keshatupia.
Sidhani kama ni tatizo kiasi hicho