Hahaha unakuta jina la ajabu kidogo; si unajua tena majina ya wazee wetu. Kuna msichana surname yake ilikuwa ni Kisebengo; tulishangaa tu siku tunapangwa kwenye mtihani ndiyo anaitwa binti Kisebengo; tulishamzoea kwa jina lingine la kawaida, alikuwa analificha hilo
Hv kwa nn watu wengi hawapendi kutumia/kufahamika kwa jina lake la ukoo mfano mtu anaitwa Alphonce Mshana Jr lakn anapenda umwite Alphonce na sio mshana. Hv n kwa nn?
Alianza kuniahidi ujio wake mchana kwamba usiku atakuja, tukawa tunachat baada ya kila saa, jioni, usiku saa moja, mbili, hivyo hivyo namkumbushia anajibu kwa ahadi za kimahaba mahaba.....aki wanaume tuliumbiwa mateso tu yaani....ha ha ha!
Nilikua na hako katabia hadi nikakutana na wasiojali, unajifanya unataka kuondoka wanakuaga kabisa uondoke, siku hizi nawakomalia tena ndio nanogesha stori mpaka kieleweke, haondoki mtu.