Alianza kuniahidi ujio wake mchana kwamba usiku atakuja, tukawa tunachat baada ya kila saa, jioni, usiku saa moja, mbili, hivyo hivyo namkumbushia anajibu kwa ahadi za kimahaba mahaba.....aki wanaume tuliumbiwa mateso tu yaani....ha ha ha!
Kuna wakati unakuwa hujaibiwa, umeangusha au umesahau mahali.
Baadhi ya waokotaji ni waaminifu na waadilifu.
Tumesharudisha simu nyingi kwa mtindo huo wa kupigiwa.
Ukippteza simu usikate tamaa, piga tu.
Watu hawafanani
Kuna wakati unakuwa hujaibiwa, umeangusha au umesahau mahali.
Baadhi ya waokotaji ni waaminifu na waadilifu.
Tumesharudisha simu nyingi kwa mtindo huo wa kupigiwa.
Ukippteza simu usikate tamaa, piga tu.
Watu hawafanani
Hv kwa nn watu wengi hawapendi kutumia/kufahamika kwa jina lake la ukoo mfano mtu anaitwa Alphonce Mshana Jr lakn anapenda umwite Alphonce na sio mshana. Hv n kwa nn?