Fikra zetu masikini. Bado tunajivuna eti tunakopesheka. Na utajiri wetu wote Mungu Aliotupa...
Ila mifumo hii ya kiuchumi aliyeisuka alikuwa jiniazi aisee. Na kiongozi wa Kiafrika akijitia kimbelembele kujaribu kukinzana na mifumo hii ya wakubwa hatachukua raundi anauliwa. There is no hope for Africa