Ahadi ni deni.
Kocha wa Royal Antwerp Fc ya Ubelgiji Brian Priske, akienda kwenye mkutano na waandishi wa habari akiwa amejifunga taulo.
Kocha huyo aliweka nadhiri ya kuongea na waandishi akiwa nusu uchi mara timu yake ikifuzu kwenye Ligi ya Europa.
Ametimiza
Ilikuwa shilingi moja hiyo unakwenda nayo mjini sikukuu ya Sabasaba unapata maandazi na skonzi za kutosha; na jioni unarudi home na mzigo wa miwa...na chenji inabaki!
Unyanyapaa wa kizamani huo, tulishaachana nao.
Mi naenda nao sawa tu, siwezi waacha wahaya, warangi, wamachinga, wanyaki kisa eti ni maji mara moja, thubutu