Basi haujakutana na demu tom boy anajimix na wanaume balaa lakini haliwi, kwanza hatongozeki kabisaa na humwambii kitu kuhusu mijadala ya kidume, anaijua line up ya Simba/Yanga/Man U/Arsenal....magari....siasa ndio haachwi nyuma, kadhia yote ya Afghanistan atakusimulia, mkanganyiko wa mavita vita Syria atakueleza kila kitu......
Kijiweni anabishana na maboys kwenye kila topic, demu akipita mkali mkimtazama na yeye macho humo...