Vituko mitandaoni. Tupia chako

Uwongo mwingi kuliko ukweli hapa.

1. Hela alizoiba, japo haijulikani idadi kamili, wengi wanaamini hazikuzidi bilioni 1. Bilioni 40 ni pesa nyingi sana!

2. Hakuwahi kuhukumiwa kunyongwa; na wala hakunyongwa. Yuko hai bado, japo yuko jela bado.

3. Alipewa nickname ya smiling hacker kutokana na tabia yake ya kupenda kutabasamu akiwa mbele ya media wakati wa kesi zake.

 
Ndio maana nikaileta huku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…