Ngoja tusubiri majibu wa wapelelezi,utafurahi na roho yako.
Naamini hakuna mpuuzi anaweza kuamua tu bila sababu ya msingi kufanya tukio kama la jana.
Na kama angekuwa na nia mbaya angeanza na wale wa kwenye magari.
"Haki aiombwi,ni wajibu kuipata/kuipigania".