Simaanishi ubaya lakini sidhani kama Mpango afya yake ni nzuri. Tangu augue waliyosema Korona wakati ule nadhani hajapona sawasawa. Hata kwa kumwangalia tu. Labda alipata ile inaitwa Long haul Covid - unapona lakini unakuwa na madhara ya muda mrefu na unapona polepole. Ubaya hawa wakubwa hawasemagi hata kama wanaumwa.