Sasa ulivyonishushua!!! Ukiibukia kwangu nakumwagia maji ya ukoko wa ugali, halafu nakimbia.
Hakuna furushi la kike, ukiona unamuona mwanamke haeleweki basi tazama wanaume wanaomzunguka, iwe kaka,baba,mume,mpenzi,rafiki nk
Hivi mwanamke anakuwaje furushi jamani