Vituko mitandaoni. Tupia chako

Na sasa atawaonya wafuasi wa Lungu!!
Huyu anasimamia sheria na ni muajiriwa wa serikali

Kwasasa serikali ni mpya,ila sheria,kanuni na taratibu ni zilezile. Alikosea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuandama ni haki, polisi wajibu wao ni kuwepo kwa kulinda usalama bila ya kuzuia maandamano. "Kukung'uta" waandamanaji ambao hawafanyi vandalism ni uvunjaji wa haki za raia, polisi lazima nao wawe guided na sheria yaani wafanye kazi kwa weledi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…