Vituko mitandaoni. Tupia chako

Dogo alinisimulia wakiwa boarding waliamka kwenda kunywa ule uji wa saa 11asubuhi,wamekunywa fresh sasa ile wanamalizia kunywa wale wapishi nao ndio wanamalizia kugawia wanafunzi wengine uji wa chini kwenye yale mapipa ndio wanaona lipaka limefia humo halafu limechambuka chambuka ile mbaya


Kilichofuata hapo ni kila mtu kufa kivyake
 
Oh no!

That was horrible kwa sababu hata ukisema ujitapishe ni kazi bure.

Tuliosoma boarding enzi zile hakuna ambacho hatukula. Maharage, unga na dagaa waliooza funza wanaelea kabisa mnawaona. Panya wanaotumbukia kwenye uji. Wapishi wanaosonga ugali mijasho na kamasi vinadondokea humo humo kwenye ugali...we survived it all and here we are 76 yrs and counting
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…