Niwekee mkono mtumishi. Pepo la ubahili tokaaa! Faya faya faya pepo la kutokumjali mwenzio tokaaa! Shandala la la la bobolimoku po po po pa pa pa faya faya tokaaaa!
Kanisa lako liko sehemu gani huko Mbeya? Au ni lile nyuma ya lile la Mbarikiwa Mwakipesile karibu na barabara kuu iendayo Uyole?