Vituko mitandaoni. Tupia chako

Asante mkuu.
Mi pia nilikuwepo zama hizo kiongozi, nayakumbuka yote hayo.
Nakumbuka tukio la mmiliki wa CTN Al Munir Karim kumkodishia wauwaji Regnald Mengi, kwakuwa tu mswahili naye anaanzisha TV channel.
Ilikuwa mwaka 1992-93.
Kashfa hiyo iliondoka na aliyekuwa kamanda wa polisi D'salaam aliyeitwa Triphon Maji na Aliyekuwa katibu mkuu wa Wizara ya Mambo ya ndani wakati huo Silivano Adeli.

Nakumbuka fainal za kombe la Dunia mwaka 1994 tulijimwambafai kwenye TV channel zetu kupitia ITV.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…