Vituko mitandaoni. Tupia chako


Umehesabu umepata ni mara ngapi kweli ulikuwa umetoka kukulwa?

Nachulale kawivu kanakuwepo ndiyo. Just imagining pisi kali wewe unakuliwa tu na wengine


Mashikolo mageni nkoyi
 
Umehesabu umepata ni mara ngapi kweli ulikuwa umetoka kukulwa?

Nachulale kawivu kanakuwepo ndiyo. Just imagining pisi kali wewe unakuliwa tu na wengine


Mashikolo mageni nkoyi

Hata sijahesabu bhebhee,

Mahaba yangu yanaendaga kwa wasukuma, sichezi mbali na nyumbani...😋😋

Msukuma ananikula getegete nkoyi 😅😅

Kwani na wewe ni Msukuma..!??
 
Nacheka sana yani..huwezi amini mapema sana hawa umbwa wamemiss mbilinge za Magufuli


Hawana raha kabisa wanawashwa tu mikong'oto na zile purukushani za kukamatana,hayo mambo hayapo sasa hivi hawajioni kabisa kama ni wanaharakati anymore,bila kipigo na kukamatwa au kutishwa...I wish Mom atawapuuza tu hawa vilaza
 

Ni Watanzania wenzio mkuu na siyo vizuri kuwaita mbwa. Hatujafikia kwenye uhasama wa hivyo. Hii ni nchi yetu sote na inabidi tuvumiliane tu.

Ila uko sahihi. Bila kiki, kukurukakara na mikasa mambo hayaendi hivyo mama watamkorofisha tu mpaka atakosa uvumilivu. Na hicho ndicho wanachokitaka. Huoni tayari wameshambatiza eti ni Magufuli wa kike?

Ila napenda amsha amsha yao kwa sababu mara nyingi huwa angalau inaonyesha mambo yanayoendelea ambayo bila wao huwezi kuyasikia.
 
Hata sijahesabu bhebhee,

Mahaba yangu yanaendaga kwa wasukuma, sichezi mbali na nyumbani...


Msukuma ananikula getegete nkoyi


Kwani na wewe ni Msukuma..!??
Lekaga amamihayo genayo nkoyi Kasie


Nagawīlwa gīkī ūbebe ugachimagwa na basabi guke; na bagosha ba ma cheo matale (bakulugenji). Ūnene nkoyi nalīng'habī


Ila lūshikū lūmo nūnene nagūgūchima guke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…