Kama akifa utasikia tu, hakuna msiba wa mtu mmoja jamani
Hivi unavijua vipenzi ambavyo mahusiano yao mengine yamenoga? Kanajifanya busy hadi ukatafute na unakaona tu online, ukikatext tu message ikifika ndiyo kanazima na data kabisa. Ndiyo marehemu kazima data?
Mtumishi na wewe ni tabia yako?