Vituko mitandaoni. Tupia chako


Duh! Huyu dogo mbona mnamzingua kihivi, ina maana hayati alikua anamlinda au nini kinamsibu....mpaka sasa anahangaika kuficha sura na uso, hii dunia bana tuiache kama ilivyo, hamna wa kuikomesha, wote akina Hitler, Idi Amin n.k. walishapewa ukweli wao.
Saka hela zako kihalali kisha geuza zako nyumbani kwa mkeo, achana na dunia hautaiweza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…