Vituko mitandaoni. Tupia chako

ujue hii ni kweli[emoji23] juzi kati nilikuwa home akaja mzee mmoja ananiuliza kama namkumbuka nikasema hapana,akaniambia “umenisahau wakati nilikuja hapa kwenu ukiwa darasa la kwanza”[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]hiyo ni kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…