Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kwenye ufukwe wa ziwa Tanganyika nimeona makazi kadhaa ya watu yamezamishwa.
Ile Bandari mpya ya ujiji wakati wa ujenzi nilikuta wameinua tuta kubwa lakini ndiyo hivyo imezama.
Kuna mtaa unatoka Mwanga kuelekea uwanja wa ndege wa Kigoma unapitia kata ya Katubuka na wenyewe umezama kama inavyozama barabara ya jangwani.
Hapo kuna nyumba kadhaa zipo kwenye dimbwi la maji.
Kwa kweli Dar es salaam inavuma sana kwa kuvamiwa na maji lakini wanaoishi kando ya Ziwa Victoria na Tanganyika wapo hatarini pia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…