Ukijitolea kwa mwanamke chukulia ni kama sadaka tu na usitegemee cho chote in return. A human being is capable of doing anything at anytime. Usitegemee kwamba eti ukimsomesha au kumjengea na kumnunulia magari ndiyo utanunua loyalty yake hapana. Ukitaka kwenda sawa na mwanamke wa hivyo, mzalishe; na hakikisha mtoto ni wa kwako. Hapo angalau atakukumbuka...
Ni bora ubaki single asee kama ndo hivyo maana utazidi kupata ugonjwa. Wa moyo daily ukikumbuka investment ya shobo na hela uliyowekeza kwa mchuchu πΆ