Hii nakubaliana na wewe, kuna mkaka sikuwahi kudhani atakuja kunitongoza...
Huyo hadi tulinuniana sababu tulikuwa marafiki sana kumbe alikuwa na wivu na mimi hataki mwanaume mwingine anitongoze, na alikuwa ananipenda aahahahhaaaa siku ya siku ananiambia ukweli.... nilichekaaa.....ππππ.