Vituko mitandaoni. Tupia chako

Jeshi la polisi nchini Uganda linawashikilia watu wawili, mhudumu na mmiliki wa mgahawa mmoja jijini Kampala kwa kile kinachosadikiwa kuuza chakula kilichokutwa na uume wa binadamu

Mpita njia mmoja alikula chakula kilicho changanywa nyama kwenye mgahawa huo, hata hivyo alihisi kama anatafuna uume wa binadamu.

Alipotema chakula hicho aliona dhahiri kiungo cha uzazi cha mvulana.

Jeshi la polisi nchini Uganda limepeleka uume huo kwenye maabala ya mkemia mkuu wa nchi hiyo kupata uthibisho wa kisayansi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…