Kuna mda unasoma 'comment' unabaki kucheka tu mwenyewe.
Hili tukio la mwaka juzi, ambapo Dash 8 ya Rw@nda ilichochora nje ya barabara na sababu ya awali ilitajwa kuwa njia kulowa maji.
Akaja mtu kwenye 'comment' akasema "Hapana, imepeleka abiria kuchimba dawa"