Vituko mitandaoni. Tupia chako

Kuna mda unasoma 'comment' unabaki kucheka tu mwenyewe.
Hili tukio la mwaka juzi, ambapo Dash 8 ya Rw@nda ilichochora nje ya barabara na sababu ya awali ilitajwa kuwa njia kulowa maji.
Akaja mtu kwenye 'comment' akasema "Hapana, imepeleka abiria kuchimba dawa"


Aviation24.be
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…