Vituko mitandaoni. Tupia chako

Jamaa aliupambania kweli urais basi tu mfumo haukuwa rafiki kwake...
Alitumia nguvu kubwa mno, lakini wapi.....

Mi nadhani alitakiwa kujishusha sana kwa rafiki yake, ila wapambe walimdanganya eti hela zake zinatosha kumshangaza Mkwere.
Nadhani miaka 5 ya mwisho Mkwere alikuwa anamchezea drafti kimya kimya ili kuharibu njia zake.
Siasa za mwaka 2015 zimetuachia funzo
 
Mikosi yake ilianzia kwa Nyerere alipokataa jina lake baada ya kutishwa na utajiri wake tena baada ya kuwa waziri kwa muda mfupi tu. Mkwere alipomruka na kuharibu deal lao la kuachiana urais mambo yalizidi kumwendea mrama. Kujaribu upinzani ilikuwa karata yake ya mwisho. Bahati mbaya wakati huu alikuwa ameshachafuliwa sana na tuhuma za ufisadi ...na bado wakamwibia na kura pia...

Apumzike kwa amani 🙏🏿
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…