Nakataga tamaa mapema sana; na unaweza ukanipa nikaisusa hasa nikigundua kwamba kumbe hauko kama vile nilivyokudhania. Kwangu mimi nikimpenda mtu hata asiponipa ni sawa tu maana huwa nathamini sana urafiki, ushikaji na lile vibe la kwamba huyu ni mshikaji wangu and she cares for me. That type of relationship is more meaningful and priceless!
#Busarazavibabukazi ππ