Hata sasa tu hekaheka zako za hapa JF si za kitoto. Huko kitaa sijui hali ikoje. Ila kama una pesa hizo kesi utatoboa tu maana mna-settle out of court kama anavyofanya PDiddy labda kama baadhi ya wahusika ni underage. Hapo sasa ni msala tofauti kabisa maana wanaweza wakaku-RKelly π
Mnaokunywa hii mipombe mikali hii kuweni makini. Zaidi ya asilimia 90 ni feki na hakuna anayejua mnakunywa makemikali gani. Angalieni sana afya ya figo na maini yenu ππΏ