Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,300
Labda hujui maana ya lugha.Au labda unafikiri lugha ni lazima iwe ile unayoifahamu wewe.Au labda hujui kuwa si kila lugha ni rasmi.
Urasmi wa lugha unakujaje hapa..kinachogomba hapa ni hayo maandishi labda we mwezangu ungeandika hivyo pia na kusema sio lugha rasmi.?utakua umepitiwa.